Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hawataweka upara juu ya vichwa+ vyao, na ncha ya ndevu zao hawatanyoa,+ na katika mwili wao hawatafanya mkato.+

  • Kumbukumbu la Torati 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa.

  • Yeremia 16:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+

  • Yeremia 48:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Kwa maana kuna upara+ juu ya vichwa vyote, na ndevu zote zimekatwa.+ Kuna mikato+ juu ya mikono yote, na juu ya viuno kuna nguo za magunia!’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki