Mambo ya Walawi 19:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova. Yeremia 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+
28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova.
6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+