Kumbukumbu la Torati 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa. Yeremia 16:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+
14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa.
6 Na hakika wao watakufa, wakubwa kwa wadogo, katika nchi hii. Hawatazikwa,+ wala watu hawatajipiga-piga kwa ajili yao, wala hakuna yeyote atakayejikata-kata+ wala kujitia upara kwa ajili yao.+