Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “‘Na msijikatekate mwili wenu kwa ajili ya nafsi iliyokufa,+ wala msijitie alama ya chanjo. Mimi ni Yehova.

  • Kumbukumbu la Torati 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu.+ Msijikatekate+ wala kujitia upara+ kwenye mapaji ya nyuso zenu kwa ajili ya mtu aliyekufa.

  • Yeremia 41:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 wakaja watu kutoka Shekemu,+ kutoka Shilo+ na kutoka Samaria,+ watu 80 huku ndevu zao zikiwa zimenyolewa+ na mavazi yao yakiwa yameraruliwa nao wakiwa wamejitia mikato,+ na mkononi mwao walikuwa na toleo la nafaka na ubani+ ili wavilete katika nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki