5 wakaja watu 80 kutoka Shekemu,+ kutoka Shilo,+ na kutoka Samaria.+ Ndevu zao zilikuwa zimenyolewa, mavazi yao yalikuwa yameraruka, walikuwa wamejikatakata,+ nao walikuwa na matoleo ya nafaka na uvumba+ mikononi mwao ili wavilete vitu hivyo katika nyumba ya Yehova.