Mambo ya Walawi 19:27, 28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “‘Msinyoe* masharafa yenu au kuharibu kingo za ndevu zenu.+ 28 “‘Msijikatekate mwilini kwa ajili ya mtu aliyekufa,*+ nanyi msijichanje chale. Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu. Msijikatekate+ wala kunyoa upara kwenye mapaji ya nyuso zenu* kwa ajili ya mtu aliyekufa.+
27 “‘Msinyoe* masharafa yenu au kuharibu kingo za ndevu zenu.+ 28 “‘Msijikatekate mwilini kwa ajili ya mtu aliyekufa,*+ nanyi msijichanje chale. Mimi ni Yehova.
14 “Ninyi ni wana wa Yehova Mungu wenu. Msijikatekate+ wala kunyoa upara kwenye mapaji ya nyuso zenu* kwa ajili ya mtu aliyekufa.+