Mambo ya Walawi 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie hivi wana wa Haruni, makuhani: ‘Mtu yeyote kati yenu asijichafue kwa kumgusa mtu aliyekufa* miongoni mwa watu wake.+ Mambo ya Walawi 21:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Hawapaswi kunyoa upara+ au kukata ncha za ndevu zao au kujikatakata mwilini.+
21 Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Waambie hivi wana wa Haruni, makuhani: ‘Mtu yeyote kati yenu asijichafue kwa kumgusa mtu aliyekufa* miongoni mwa watu wake.+