32 Na kuhusu ile mifupa ya Yosefu,+ ambayo wana wa Israeli walikuwa wameileta kutoka Misri, waliizika katika Shekemu ndani ya sehemu ya shamba ambalo Yakobo alinunua kutoka kwa wana wa Hamori,+ baba ya Shekemu, kwa vipande mia moja vya pesa;+ nalo likawa urithi wa wana wa Yosefu.+