18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.
7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
9Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema:
16 nao wakahamishwa mpaka Shekemu+ na kulazwa katika kaburi+ ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa bei fulani kwa fedha kutoka kwa wana wa Hamori katika Shekemu.+