Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na Abramu akapita katikati ya nchi mpaka eneo la Shekemu,+ karibu na miti mikubwa ya More;+ wakati huo Mkanaani alikuwa katika nchi hiyo.

  • Mwanzo 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.

  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Waamuzi 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Baada ya muda Abimeleki+ mwana wa Yerubaali akaenda Shekemu+ kwa ndugu za mama yake, akaanza kusema nao na kusema na familia yote ya nyumba ya baba ya mama yake, akisema:

  • Matendo 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 nao wakahamishwa mpaka Shekemu+ na kulazwa katika kaburi+ ambalo Abrahamu alikuwa amenunua kwa bei fulani kwa fedha kutoka kwa wana wa Hamori katika Shekemu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki