Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kutoka katika kabila la Naftali,+ jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Kedeshi+ katika Galilaya, na kiwanja chake cha malisho, na Hamoth-dori+ na kiwanja chake cha malisho, na Kartani na kiwanja chake cha malisho; majiji matatu.

  • 2 Wafalme 15:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri+ mfalme wa Ashuru+ aliingia na kuchukua Iyoni+ na Abel-beth-maaka+ na Yanoa na Kedeshi+ na Hasori+ na Gileadi+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawachukua na kuwapeleka uhamishoni katika Ashuru.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki