7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.
11 (Hiramu+ mfalme wa Tiro alikuwa amemsaidia Sulemani+ kwa mbao za mierezi na mbao za miberoshi na kwa kumletea dhahabu nyingi kama alivyopenda,)+ kwamba wakati huo Mfalme Sulemani akampa Hiramu majiji 20 katika nchi ya Galilaya.+
9Hata hivyo, weusi huo hautakuwa kama wakati nchi ilipokuwa na mkazo, kama wakati wa kwanza mtu alipoidharau nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali+ na wakati wa baadaye mtu alipofanya iheshimiwe+—njia iliyo kando ya bahari, katika eneo la Yordani, Galilaya ya mataifa.+