Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • 1 Wafalme 9:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 (Hiramu+ mfalme wa Tiro alikuwa amemsaidia Sulemani+ kwa mbao za mierezi na mbao za miberoshi na kwa kumletea dhahabu nyingi kama alivyopenda,)+ kwamba wakati huo Mfalme Sulemani akampa Hiramu majiji 20 katika nchi ya Galilaya.+

  • Isaya 9:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Hata hivyo, weusi huo hautakuwa kama wakati nchi ilipokuwa na mkazo, kama wakati wa kwanza mtu alipoidharau nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali+ na wakati wa baadaye mtu alipofanya iheshimiwe+—njia iliyo kando ya bahari, katika eneo la Yordani, Galilaya ya mataifa.+

  • Mathayo 4:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “Ewe nchi ya Zabuloni na nchi ya Naftali, kando ya barabara ya bahari, katika upande ule mwingine wa Yordani, Galilaya+ ya mataifa!

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki