Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Baada ya muda Yakobo akafika jiji la Shekemu+ lililo katika nchi ya Kanaani+ akiwa salama salimini, alipokuwa akija kutoka Padan-aramu,+ naye akapiga kambi mbele ya jiji hilo.

  • Yoshua 21:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi wakawapa jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Shekemu,+ na kiwanja chake cha malisho+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Gezeri+ na kiwanja chake cha malisho,

  • 2 Mambo ya Nyakati 10:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Rehoboamu+ akaenda Shekemu,+ kwa maana Waisraeli wote walikuja Shekemu ili kumfanya kuwa mfalme.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki