Hesabu 35:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+ Yoshua 20:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+
15 Majiji hayo sita yatatumika yakiwa kimbilio kwa wana wa Israeli na kwa mkaaji mgeni+ na kwa mhamiaji aliye kati yao, ili mtu yeyote ambaye ataipiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo.+
3 ili muuaji+ anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia, bila kujua, akimbilie humo; nayo yatakuwa kwenu makimbilio kutoka kwa mlipiza-kisasi cha damu.+