Kutoka 12:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+ Mambo ya Walawi 19:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu. Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+ Hesabu 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+
49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+
34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.
22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+
16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+