Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+

  • Mambo ya Walawi 19:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yule mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi atakuwa kwenu kama mwenyeji wenu; nawe utampenda kama wewe mwenyewe,+ kwa maana mlikuwa wakaaji wageni katika nchi ya Misri.+ Mimi ni Yehova Mungu wenu.

  • Mambo ya Walawi 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+

  • Hesabu 15:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki