29 “Na itakuwa sheria mpaka wakati usio na kipimo kwenu ninyi:+ Katika mwezi wa saba, siku ya kumi ya mwezi huo,+ mtazitesa nafsi zenu,+ nanyi msifanye kazi yoyote,+ iwe ni mwenyeji au mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.
15 Nayo nafsi yoyote itakayokula mwili uliokufa tayari au kitu kilichoraruliwa na mnyama-mwitu,+ awe ni mwenyeji au mkaaji mgeni, basi atayafua mavazi yake na kuoga katika maji na kuwa asiye safi+ mpaka jioni; naye atakuwa safi.
14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakaa pamoja nanyi akiwa mgeni au mtu aliye katikati yenu kwa vizazi vyenu, naye atoe toleo linalotolewa kwa njia ya moto, lenye harufu ya kumtuliza Yehova, kama vile mnavyopaswa kufanya, ndivyo anavyopaswa kufanya.+