Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+

  • Mambo ya Walawi 22:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Sema na Haruni na wanawe na wana wote wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Mtu yeyote wa nyumba ya Israeli au mkaaji mgeni katika Israeli anayetoa toleo lake,+ kwa ajili ya nadhiri+ yao yoyote au kwa ajili ya matoleo yao ya hiari,+ ambayo huenda wakamtolea Yehova kwa ajili ya toleo la kuteketezwa,

  • Mambo ya Walawi 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+

  • Hesabu 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Na ikiwa mkaaji mgeni atakuwa akikaa pamoja nanyi akiwa mgeni, yeye pia atamtayarishia Yehova dhabihu ya pasaka.+ Anapaswa kufanya kulingana na sheria ya pasaka na kulingana na utaratibu wake wa kawaida.+ Kutakuwa na sheria moja kwa ajili yenu, kwa ajili ya mkaaji mgeni na kwa ajili ya mwenyeji wa nchi.’”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki