Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Sheria moja itakuwapo kwa ajili ya mwenyeji na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yenu.”+

  • Mambo ya Walawi 24:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 29:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 watoto wenu, wake+ zenu, na mkaaji wako mgeni+ aliye katikati ya kambi yako, kuanzia mkusanya-kuni wako mpaka mteka-maji+ wako,

  • Kumbukumbu la Torati 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wakutanishe watu,+ wanaume na wanawake na watoto wadogo na mkaaji mgeni aliye ndani ya malango yako, ili wasikilize na ili wajifunze,+ kwa maana ni lazima wamwogope Yehova Mungu+ wenu na kuwa waangalifu kuyatimiza maneno yote ya sheria hii.

  • Waroma 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna ubaguzi kwa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki