Mambo ya Walawi 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+ Hesabu 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+ Wagalatia 3:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke;+ kwa maana ninyi nyote ni mtu mmoja katika muungano na Kristo Yesu.+ Wakolosai 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+
22 “‘Uamuzi mmoja wa hukumu utatumika kwenu. Mkaaji mgeni atakuwa sawa na mwenyeji,+ kwa sababu mimi ni Yehova Mungu wenu.’”+
16 Kutakuwa na sheria moja na uamuzi mmoja wa hukumu kwa ajili yenu na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni pamoja nanyi.’”+
28 Hakuna Myahudi wala Mgiriki,+ hakuna mtumwa wala mtu huru,+ hakuna mwanamume wala mwanamke;+ kwa maana ninyi nyote ni mtu mmoja katika muungano na Kristo Yesu.+
11 ambapo hakuna Mgiriki wala Myahudi, tohara wala kutotahiriwa, mgeni, Msikithe, mtumwa, mtu huru,+ bali Kristo ni kila kitu na katika vitu vyote.+