17 ‘ “Na katika siku za mwisho,” Mungu asema, “Nitaimimina sehemu ya roho yangu+ juu ya kila namna ya mwili, nao wana wenu na binti zenu watatoa unabii nao wanaume wenu vijana wataona maono na wazee wenu wataota ndoto;+
7 Enyi waume, endeleeni kukaa nao vivyo hivyo+ kulingana na ujuzi,+ mkiwapa heshima+ kama chombo dhaifu zaidi, yaani, mwanamke, kwa kuwa ninyi pia ni warithi+ pamoja nao wa pendeleo lisilostahiliwa la uzima, kusudi sala zenu zisizuiwe.+