Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 7:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Na ikiwa dhabihu ya toleo lake ni toleo la nadhiri+ au la hiari,+ italiwa siku atakayoitoa dhabihu yake, na kesho yake kilichobaki kinaweza kuliwa.

  • Mambo ya Walawi 23:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 mbali na sabato za Yehova+ na mbali na zawadi+ zenu na mbali na matoleo yenu ya nadhiri+ na mbali na matoleo yenu ya hiari,+ ambayo mtamtolea Yehova.

  • Hesabu 15:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 nanyi mtamtolea Yehova toleo linalotolewa kwa njia ya moto,+ toleo la kuteketezwa+ au dhabihu ili kufanya nadhiri ya pekee au kwa hiari+ au wakati wa sherehe zenu za majira,+ ili kumfanyia Yehova harufu yenye kutuliza,+ kutoka katika mifugo au kutoka katika kundi;

  • Zaburi 22:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Kutoka kwako sifa yangu itakuwa katika kutaniko kubwa;+

      Nadhiri zangu nitazitimiza mbele ya wale wanaomwogopa.+

  • Zaburi 56:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Juu yangu, Ee Mungu, kuna nadhiri zako.+

      Nitakutolea maneno ya shukrani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki