Mambo ya Walawi 23:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Mtazitoa pamoja na dhabihu zinazotolewa wakati wa sabato za Yehova,+ pamoja na zawadi zenu,+ dhabihu zenu za nadhiri,+ na matoleo yenu ya hiari+ ambayo mnapaswa kumtolea Yehova.
38 Mtazitoa pamoja na dhabihu zinazotolewa wakati wa sabato za Yehova,+ pamoja na zawadi zenu,+ dhabihu zenu za nadhiri,+ na matoleo yenu ya hiari+ ambayo mnapaswa kumtolea Yehova.