Kutoka 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.” Kutoka 20:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Ikumbuke siku ya Sabato na uione kuwa takatifu.+ Kutoka 31:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Waambie Waisraeli, ‘Mnapaswa hasa kushika sabato zangu,+ kwa maana ni ishara kati yangu pamoja nanyi katika vizazi vyenu ili mjue kwamba mimi, Yehova, ninawatakasa ninyi.
23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.”
13 “Waambie Waisraeli, ‘Mnapaswa hasa kushika sabato zangu,+ kwa maana ni ishara kati yangu pamoja nanyi katika vizazi vyenu ili mjue kwamba mimi, Yehova, ninawatakasa ninyi.