-
Hesabu 11:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kwa kweli, mana+ ilikuwa kama mbegu za giligilani,+ na ilionekana kama utomvu wa mbedola. 8 Watu walikuwa wakienda kila mahali kuiokota, kisha waliisaga kwa mawe ya kusagia au waliitwanga kwenye kinu. Halafu waliichemsha katika vyungu vya kupikia au waliitumia kuoka mikate ya mviringo,+ na ladha yake ilikuwa kama ladha ya keki tamu iliyookwa kwa mafuta.
-