Hesabu 11:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu walitawanyika na kuiokota+ na kuisaga katika mawe ya kusaga ya mkononi au kuitwanga katika kinu, nao waliitokosa katika vyungu vya kupikia+ au kuifanya kuwa keki za mviringo, nayo ladha yake ilikuwa kama ladha ya keki tamu iliyotiwa mafuta.+
8 Watu walitawanyika na kuiokota+ na kuisaga katika mawe ya kusaga ya mkononi au kuitwanga katika kinu, nao waliitokosa katika vyungu vya kupikia+ au kuifanya kuwa keki za mviringo, nayo ladha yake ilikuwa kama ladha ya keki tamu iliyotiwa mafuta.+