Kutoka 16:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Yehova ameamuru hivi: ‘Kila mtu anapaswa kukusanya kiasi anachoweza kula. Kila mmoja wenu atachukua kiasi cha omeri moja*+ kwa ajili ya kila mtu aliye katika hema lake.’” Kutoka 16:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.”
16 Yehova ameamuru hivi: ‘Kila mtu anapaswa kukusanya kiasi anachoweza kula. Kila mmoja wenu atachukua kiasi cha omeri moja*+ kwa ajili ya kila mtu aliye katika hema lake.’”
23 Musa akawaambia: “Hivyo ndivyo alivyosema Yehova. Kesho kutakuwa na pumziko kamili,* sabato takatifu kwa Yehova.+ Okeni mnachohitaji kuoka, na chemsheni mnachohitaji kuchemsha;+ kisha chochote kitakachobaki mkihifadhi mpaka asubuhi.”