Kutoka 16:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Utando huo wa umande ulipotoweka, kitu laini, kinachovunjikavunjika,+ kitu laini kama theluji, kilienea kwenye ardhi nyikani. Nehemia 9:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Nawe ukawapa roho yako njema ili iwape ufahamu,+ hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na walipohisi kiu ukawapa maji.+ Yohana 6:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mababu zetu walikula mana nyikani,+ kama ilivyoandikwa: ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’”+
14 Utando huo wa umande ulipotoweka, kitu laini, kinachovunjikavunjika,+ kitu laini kama theluji, kilienea kwenye ardhi nyikani.
20 Nawe ukawapa roho yako njema ili iwape ufahamu,+ hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na walipohisi kiu ukawapa maji.+
31 Mababu zetu walikula mana nyikani,+ kama ilivyoandikwa: ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’”+