3 Kwa hiyo aliwanyenyekeza na kuwaacha mkae njaa,+ naye akawalisha mana,+ ambayo ninyi wala baba zenu hamkuwa mmeijua, ili awafundishe kwamba mwanadamu haishi kwa mkate tu bali huishi kwa kila neno linalotoka katika kinywa cha Yehova.+
15 Walipokuwa na njaa uliwapa mkate kutoka mbinguni,+ walipokuwa na kiu ukawapa maji kutoka kwenye mwamba,+ na ukawaambia waingie na kuimiliki nchi ambayo ulikuwa umeapa* kwamba utawapatia.