Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 29:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 “‘Mtamtolea Yehova dhabihu hizo wakati wa sherehe zenu za majira,+ mbali na dhabihu zenu za nadhiri+ na matoleo yenu ya hiari+ yakiwa dhabihu zenu za kuteketezwa;+ na pia matoleo yenu ya nafaka+ na matoleo yenu ya kinywaji+ na dhabihu zenu za ushirika.’”+

  • Kumbukumbu la Torati 12:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hapo ndipo mnapopaswa kupeleka dhabihu zenu za kuteketezwa,+ matoleo yenu, sehemu zenu za kumi,+ mchango kutoka mkononi mwenu,+ dhabihu zenu za nadhiri, matoleo yenu ya hiari,+ na wazaliwa wa kwanza wa ng’ombe na kondoo wenu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Watu walishangilia kwa sababu walitoa matoleo hayo ya hiari, kwa maana walimtolea Yehova matoleo hayo ya hiari kwa moyo kamili,+ na Mfalme Daudi pia alishangilia sana.

  • 2 Mambo ya Nyakati 35:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wakuu wake pia walitoa mchango uwe toleo la hiari kwa ajili ya watu, makuhani, na Walawi. Hilkia,+ Zekaria, na Yehieli, viongozi wa nyumba ya Mungu wa kweli, waliwapa makuhani wanyama 2,600 wa dhabihu za Pasaka na ng’ombe 300.

  • Ezra 2:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 Walipofika kwenye nyumba ya Yehova kule Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa koo* wakatoa matoleo ya hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuijenga upya* mahali ilipokuwa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki