Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 35:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 ‘Mtoleeni Yehova mchango kutoka miongoni mwenu.+ Kila mtu aliye na moyo wa kutoa kwa hiari+ na amletee Yehova mchango wa dhahabu, fedha, shaba,

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 dhahabu ya kutengenezea vitu vya dhahabu na fedha ya kutengenezea vitu vya fedha, na kwa ajili ya kazi yote itakayofanywa na mafundi. Basi ni nani anayejitolea kuja leo akiwa na zawadi mkononi kwa ajili ya Yehova?”+

  • Nehemia 7:70-72
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Baadhi ya viongozi wa koo* walitoa mchango kwa ajili ya kazi.+ Gavana* alitoa kwa ajili ya hazina drakma 1,000 za dhahabu,* mabakuli 50, na kanzu 530 za makuhani.+ 71 Na baadhi ya viongozi wa koo* walitoa kwa ajili ya hazina ya kazi drakma 20,000 za dhahabu na mina 2,200 za fedha.* 72 Na wale watu wengine walitoa drakma 20,000 za dhahabu, mina 2,000 za fedha, na kanzu 67 za makuhani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki