Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 25:2-7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Waambie Waisraeli wanitolee mchango; mnapaswa kuchukua mchango wangu kutoka kwa kila mtu ambaye moyo wake unamchochea kuchanga.+ 3 Huu ndio mchango utakaopokea kutoka kwao: dhahabu,+ fedha,+ shaba,+ 4 nyuzi za bluu, sufu ya zambarau,* kitambaa cha rangi nyekundu,* kitani bora, manyoya ya mbuzi, 5 ngozi za kondoo dume zilizotiwa rangi nyekundu, ngozi za sili,* mbao za mshita,+ 6 mafuta kwa ajili ya taa,+ mafuta ya zeri ya kutengenezea mafuta yanayotumiwa kutia mafuta+ na kwa ajili ya uvumba uliotiwa manukato,+ 7 na mawe ya shohamu na mawe mengine ya kupambia efodi+ na kifuko cha kifuani.+

  • Kutoka 35:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Wanaume na wanawake wote waliochochewa na mioyo yao wakaleta kitu fulani kwa ajili ya kazi ambayo Yehova alimwamuru Musa ifanywe; Waisraeli walimletea Yehova vitu hivyo vikiwa toleo la hiari.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki