-
Ezra 2:68, 69Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
68 Walipofika kwenye nyumba ya Yehova kule Yerusalemu, baadhi ya viongozi wa koo* wakatoa matoleo ya hiari+ kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa kweli, ili kuijenga upya* mahali ilipokuwa.+ 69 Kulingana na uwezo wao walitoa mchango kwa ajili ya hazina ya kazi, drakma 61,000 za dhahabu,* na mina 5,000 za fedha,*+ na kanzu 100 za makuhani.
-