16 “‘Ikiwa dhabihu anayotoa ni kwa ajili ya nadhiri+ au ni toleo la hiari,+ inapaswa kuliwa siku ambayo anatoa dhabihu hiyo, na nyama inayobaki inaweza pia kuliwa siku inayofuata.
21 “‘Mtu akimtolea Yehova dhabihu ya ushirika+ ili kutimiza nadhiri au akiitoa ikiwa toleo la hiari, anapaswa kutoa mnyama asiye na kasoro kutoka katika mifugo yake au kundi lake, ili apate kibali. Mnyama huyo hapaswi kuwa na kasoro yoyote.