Zaburi 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitakusifu katika kutaniko kubwa;+Nitakusifu kati ya kikundi cha watu wengi.+ Zaburi 40:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Uadilifu wako sikuufunika moyoni mwangu.+Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako.+Sikuficha fadhili zako zenye upendo na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+ Zaburi 107:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Na wamtukuze katika kutaniko la watu;+Na katika kikao cha wazee na wampe sifa.+ Zaburi 111:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+
10 Uadilifu wako sikuufunika moyoni mwangu.+Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako.+Sikuficha fadhili zako zenye upendo na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+
111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+