Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nitakusifu katika kutaniko kubwa;+

      Nitakusifu kati ya kikundi cha watu wengi.+

  • Zaburi 40:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Uadilifu wako sikuufunika moyoni mwangu.+

      Nimetangaza uaminifu wako na wokovu wako.+

      Sikuficha fadhili zako zenye upendo na ukweli wako katika kutaniko kubwa.”+

  • Zaburi 107:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na wamtukuze katika kutaniko la watu;+

      Na katika kikao cha wazee na wampe sifa.+

  • Zaburi 111:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 111 Msifuni Yah!+

      א [ʼAʹleph]

      Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+

      ב [Behth]

      Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki