Kutoka 15:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+ Zaburi 35:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nitakusifu katika kutaniko kubwa;+Nitakusifu kati ya kikundi cha watu wengi.+ Zaburi 68:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake; Zaburi 113:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 113 Msifuni Yah!+Toeni sifa, enyi watumishi wa Yehova,+Lisifuni jina la Yehova.+ Ufunuo 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+
2 Nguvu zangu na uwezo wangu ni Yah,+ kwa maana yeye ndiye wokovu wangu.+Huyu ndiye Mungu wangu, nami nitamsifu;+ Mungu wa baba yangu,+ nami nitamwinua juu.+
4 Mwimbieni Mungu, lipigieni jina lake muziki;+Mwimbieni wimbo Yeye anayepanda akipitia nchi tambarare za jangwani+Akiwa Yah, ambalo ndilo jina lake;+ na kushangilia mbele zake;
19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+