Zaburi 67:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela. Isaya 12:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+
4 Vikundi vya mataifa na vishangilie na kupiga vigelegele kwa shangwe,+Kwa maana utavihukumu vikundi vya watu kwa unyoofu;+Navyo vikundi vya mataifa, utaviongoza duniani. Sela.
4 Na katika siku hiyo hakika mtasema: “Mpeni Yehova shukrani!+ Liitieni jina lake.+ Tangazeni matendo yake kati ya vikundi vya watu.+ Semeni kwamba jina lake limeinuliwa juu.+