Zaburi 22:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nitalitangaza jina lako+ kwa ndugu zangu;+Katikati ya kutaniko nitakusifu wewe.+ Zaburi 40:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nimetangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+Tazama! Siizuii midomo yangu.+Ee Yehova, wewe mwenyewe unajua hivyo vema.+ Zaburi 111:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+ Waebrania 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+
9 Nimetangaza habari njema ya uadilifu katika kutaniko kubwa.+Tazama! Siizuii midomo yangu.+Ee Yehova, wewe mwenyewe unajua hivyo vema.+
111 Msifuni Yah!+ א [ʼAʹleph]Nitamsifu Yehova kwa moyo wangu wote+ב [Behth]Katika kikundi cha rafiki za karibu+ walio wanyoofu na katika kusanyiko.+
12 kama anavyosema: “Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu; katikati ya kutaniko nitakusifu wewe kwa wimbo.”+