1 Wafalme 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli pamoja naye, wale waliokutana naye kwa wakati uliowekwa, walikuwa mbele ya lile Sanduku, wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.+ Zaburi 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndiyo sababu waovu hawatasimama katika hukumu,+Wala watenda-dhambi katika kusanyiko la waadilifu.+
5 Na Mfalme Sulemani na kusanyiko lote la Israeli pamoja naye, wale waliokutana naye kwa wakati uliowekwa, walikuwa mbele ya lile Sanduku, wakitoa dhabihu+ za kondoo na ng’ombe ambao hawangeweza kuhesabiwa kwa sababu ya wingi.+