Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+ Mathayo 13:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+ Mathayo 25:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mwadilifu na mwovu,+ kati ya mtu anayemtumikia Mungu na mtu ambaye hajamtumikia.”+
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo: malaika watatoka kwenda na kuwatenga waovu+ kutoka katikati ya waadilifu+
41 “Ndipo naye atawaambia, wale walio kwenye mkono wake wa kushoto, ‘Tokeni kwangu mwende zenu,+ ninyi ambao mmelaaniwa, mkaingie katika moto wa milele+ aliotayarishiwa Ibilisi na malaika zake.+