Danieli 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota. Mathayo 13:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+
3 “Na wale walio na ufahamu watang’aa kama mwangaza wa anga;+ na wale wanaoleta wengi kwenye uadilifu,+ watang’aa mpaka wakati usio na kipimo, milele kama nyota.
43 Wakati huo waadilifu watang’aa+ kwa uangavu kama jua+ katika ufalme wa Baba yao. Yule aliye na masikio na asikilize.+