Marko 4:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yeyote aliye na masikio ya kusikiliza, na asikilize.”+ Ufunuo 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’
7 Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yule ambaye atashinda+ nitampa ruhusa ya kula matunda kutokana na ule mti wa uzima,+ ulio katika paradiso ya Mungu.’