17 “ ‘Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo roho inayaambia makutaniko:+ Yeye atakayeshinda+ nitampa sehemu ya mana+ iliyofichwa, nami nitampa jiwe dogo jeupe la mviringo, na juu ya jiwe hilo jina+ jipya likiwa limeandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua ila yule anayelipokea.’+