-
Ufunuo 2:17Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
17 “‘Acheni yeye aliye na sikio asikie lile ambalo roho huyaambia makutaniko: Yeye ashindaye hakika nitampa baadhi ya mana iliyofichwa, nami hakika nitampa kijiwe cheupe cha mviringo, na juu ya hicho kijiwe cha mviringo jina jipya likiwa limeandikwa ambalo hakuna yeyote alijualo ila yule anayelipokea.’
-