17 “‘Yule aliye na sikio na asikie yale ambayo roho inayaambia makutaniko:+ Yule atakayeshinda+ nitampa baadhi ya mana iliyofichwa,+ nami nitampa jiwe dogo jeupe, na kwenye jiwe hilo, jina jipya limeandikwa ambalo hakuna yeyote anayelijua ila yule anayelipokea.’