15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+
31 Watu wa nyumba ya Israeli waliuita mkate huo “mana.”* Ulikuwa mweupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+
4 Hicho kilikuwa na chetezo cha dhahabu+ na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kabisa kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana,+ fimbo ya Haruni iliyochipuka,+ na yale mabamba+ ya agano;