Kutoka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+ Hesabu 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa kweli, mana+ ilikuwa kama mbegu za giligilani,+ na ilionekana kama utomvu wa mbedola.
15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+