-
Kutoka 16:31, 32Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
31 Watu wa nyumba ya Israeli waliuita mkate huo “mana.”* Ulikuwa mweupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+ 32 Kisha Musa akasema: “Yehova ameamuru hivi: ‘Jazeni mkate huo katika kipimo cha omeri ili uwe kitu kitakachohifadhiwa katika vizazi vyenu vyote,+ ili watoto wenu waone mkate niliowapa mle nyikani nilipokuwa nikiwatoa katika nchi ya Misri.’”
-