Kutoka 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kisha Musa akasema: “Hili ndilo neno ambalo Yehova ameamuru, ‘Kijazeni kwenye kipimo cha omeri kiwe kitu cha kuwekwa katika vizazi vyenu vyote,+ ili wapate kuona mkate niliowalisha ninyi nyikani nilipokuwa nikiwatoa katika nchi ya Misri.’”+
32 Kisha Musa akasema: “Hili ndilo neno ambalo Yehova ameamuru, ‘Kijazeni kwenye kipimo cha omeri kiwe kitu cha kuwekwa katika vizazi vyenu vyote,+ ili wapate kuona mkate niliowalisha ninyi nyikani nilipokuwa nikiwatoa katika nchi ya Misri.’”+