15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+
31 Na nyumba ya Israeli ikaanza kukiita jina lake “mana.” Nacho kilikuwa cheupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+
51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+
4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;