Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 16:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+

  • Kutoka 16:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na nyumba ya Israeli ikaanza kukiita jina lake “mana.” Nacho kilikuwa cheupe kama mbegu za mgiligilani, na ladha yake ilikuwa kama ya keki bapa zenye asali.+

  • Zaburi 78:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Naye akaendelea kuwanyeshea mana ili wale,+

      Naye akawapa nafaka ya mbinguni.+

  • Yohana 6:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Mimi ndio mkate ulio hai ulioshuka kutoka mbinguni; yeyote akila mkate huu ataishi milele; na, kwa kweli, mkate ambao nitatoa ni mwili+ wangu kwa ajili ya uzima wa ulimwengu.”+

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki