Kutoka 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+ Hesabu 11:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mana+ ilikuwa kama mbegu ya mgiligilani+ nayo ilionekana kama ulimbo wa bedola.+
15 Wana wa Israeli walipokiona, wakaanza kusemezana: “Ni nini hiki?” Kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Basi Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa ninyi uwe chakula.+