Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 21:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao watu wakaendelea kusema dhidi ya Mungu+ na Musa:+ “Kwa nini mmetutoa Misri ili tufe nyikani?+ Kwa maana hakuna mkate wala maji,+ nayo nafsi yetu imeuchukia huu mkate wa kudharaulika.”+

  • Kumbukumbu la Torati 8:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 aliyekulisha mana+ nyikani, ambayo baba zako hawakuwa wameijua, apate kukunyenyekeza+ na kukujaribu ili akutendee mema siku zako za baadaye;+

  • Yoshua 5:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo mana ikaacha kuanguka siku iliyofuata walipokuwa wamekula mazao ya nchi, wala mana haikuja tena kwa ajili ya wana wa Israeli,+ nao wakaanza kula mazao ya nchi ya Kanaani mwaka huo.+

  • Yohana 6:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Mababu zetu walikula mana+ nyikani, kama vile ambavyo imeandikwa, ‘Aliwapa mkate kutoka mbinguni ili wale.’ ”+

  • Yohana 6:58
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 58 Huu ndio mkate ulioshuka kutoka mbinguni. Si kama wakati mababu zenu walipokula na bado wakafa. Yule ambaye hula mkate huu ataishi milele.”+

  • 1 Wakorintho 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na wote walikula chakula kilekile cha kiroho+

  • Waebrania 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Hicho kilikuwa na chetezo+ cha dhahabu na sanduku la agano+ likiwa limefunikwa kuzunguka pande zote kwa dhahabu,+ ambalo ndani yake mlikuwa na mtungi wa dhahabu wenye mana+ na ile fimbo ya Haruni iliyochipuka+ na yale mabamba+ ya agano;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki